- Видео 5 756
- Просмотров 24 145 922
MbeyaYetuOnlineTV
Танзания
Добавлен 23 май 2017
Wawekezaji wawili watunushiana misuli wakigombea kitalu cha dhahabu Ifumbo Chunya
Mgogoro umeibuka baina ya Lucas Mbwiga na Aidan Msigwa Wawekezaji wawili wa machimbo ya dhahabu katika Kijiji cha Ifumbo Kata ya Ifumbo Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya ambapo kila mmoja anadai kulimiliki kihalali eneo la Kisumain lililokuwa na leseni ya uchimbaji wa madini kwa jina la Daud Mwantavila ambalo linadaiwa kupangishwa kwa Lucas bila ridhaa ya familia huku Aidan Msigwa akidai kulinunua kisheria na kubadilisha umiliki wa leseni kutoka kwa Daud na kuja kwake tangu April 22,2024.
Просмотров: 258
Видео
20 WAFIKISHWA MAHAKAMANI 6 WAHOJIWA KWA KUTENGENEZA MFUMO BANDIA(POSS)WA KUKUSANYIA MAPATO MBEYA
Просмотров 3457 часов назад
20 WAFIKISHWA MAHAKAMANI 6 WAHOJIWA KWA KUTENGENEZA MFUMO BANDIA(POSS)WA KUKUSANYIA MAPATO MBEYA Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU)Mkoa wa Mbeya imewakamata na kuwafikisha mahakamani watu ishirini kwa kutengeneza mfumo bandia wa kukusanyia mapato kwa njia ya mtandao(Poss) na kutakatisha fedha na wengine sita wakiendelea kuhojiwa na TAKUKURU Mkoa wa Mbeya na ikithibitika watafiki...
Mama aamua kutangaza kero ya Barbara ya Old Airport Mbeya
Просмотров 97712 часов назад
Mama aamua kutangaza kero ya Barbara ya Old Airport Mbeya
MZRH kuadhimisha wiki ya wataalamu wa maabara na miaka 10 ya ithibati ya kimataifa
Просмотров 11312 часов назад
Hospitali ya rufaa ya kanda mbeya kuadhimisha maadhimisho ya wiki ya wataalamu wa maabara na miaka 10 ya ithibati ya kimataifa ya maabara kwa matendo ya huruma
MAKALLA ASIKITISHWA NA KAULI ZA LISSU ZENYE HILA NA UPOTOSHAJI*
Просмотров 39914 часов назад
MAKALLA ASIKITISHWA NA KAULI ZA LISSU ZENYE HILA NA UPOTOSHAJI*
CCM,CHADEMA watupiana "Makombora" maporomoko ya mlima Kawetere,Ugawaji viwanja Wahusishwa.
Просмотров 82614 часов назад
#mbeyayetutv Diwani wa kata ya Itezi Sambwee Shitambala amewaita waathirika wa maporomoko ya mlima Kawetere yaliyoathiri kaya 21 za Kata ya Itezi ambao waliweka kambi katika shule ya msingi ya Tambukareli na kuhudhuriwa na viongozi wa CCM na CHADEMA. Katika kikao hicho viongozi wa CCM na CHADEMA walitupiana makombora wakidai uongozi uliopita chini ya CHADEMA ndio ulioruhusu kugawa viwanja katik...
Harusi ya mwana MWEF Wiseman na Mkewe Christine yafana Jijini Mbeya
Просмотров 76516 часов назад
Harusi ya mwana MWEF Wiseman na Mkewe Christine yafana Jijini Mbeya
T 99 girls watua Hospitali Ya Wazazi Meta Watoa zawadi. Wampongeza Dkt. Mbwanji
Просмотров 28221 час назад
#mbeyayetutv
Mke wa Mbunge mstaafu Mbeya Afariki dunia Atimiza miaka 90 ni mama wa Meya wa jiji Dodoma
Просмотров 657День назад
#mbeyayetutv Mke mkubwa wa Mbunge mstaafu wa jimbo la Mbeya mjini Obel Benson Mwamfupe,Bi Sosisyo Kalasya Mwamfupe amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 90 na kuzikwa nyumbani kwake Lugombo Mwakaleli wilayani Rungwe. Mwamfupe alipata kuwa Mbunge jimbo la Mbeya mjini kati ya mwaka 1985-1995. Mtoto mkubwa wa marehemu ambaye ni Meya wa Jiji la Dodoma Prof Davis Obel Mwamfupe amemzungumzia marehem...
MAKANISA YAKUTANA MBEYA KUJADILIDILIANA NAMNA YA KUJIKWAMUA KIUCHUMI
Просмотров 307День назад
Makanisa mbalimbali nchini yamekutana Jijini Mbeya kwa lengo la kujadiliana namna ya kuimarisha mahusiano kati ya makanisa na Israel kupitia matukizi ya Teknolojia na utaalamu wa miradi mikubwa ya mazao. Akitoa taarifa kwa wanahabari Mwangalizi Mkuu wa WAPO MISSION INTERNATINAL Profesa Sylvester Gamanywa amesema mradi umeona kuwashirikisha wafanyabiashara Wakristo kutoka Tanzanian katika biasha...
Tulia Trust Yatoa Msaada kwa Wahanga wa Mafuriko Kyela, Mbeya
Просмотров 196День назад
aasisi ya Tulia Trust imetoa msaada wa vyakula kwa wahanga wa mafuriko yaliyotokea Wilayani Kyela Mkoani Mbeya kutokana na mvua zinazoendelea Kunyesha hapa nchini. Vyakula vilivyotolewa na kukabidhiwa kwenye ofisi ya Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe. Josephine Manase ni mchele Kg 300, maharage Kg 50, sukari Kg 75 pamoja na unga wa ugali Kg 125. Tulia Trust chini ya mkurugenzi wake ambaye ni Rais wa Umoj...
MAMA MWENYE WATOTO SITA AANZA PEWA TABASAMU NA TAASISI YA TULIA TRUST BAADA YA KUTELEKEZWA NA MUME
Просмотров 316День назад
MAMA MWENYE WATOTO SITA AANZA PEWA TABASAMU NA TAASISI YA TULIA TRUST BAADA YA KUTELEKEZWA NA MUME
DKT. TULIA AMSHUKURU RAIS DKT. SAMIA KUTOA VIWANJA 21 KWA WAATHIRIKA WA MAPOROMOKO MLIMA KAWATELE
Просмотров 1,2 тыс.14 дней назад
DKT. TULIA AMSHUKURU RAIS DKT. SAMIA KUTOA VIWANJA 21 KWA WAATHIRIKA WA MAPOROMOKO MLIMA KAWATELE
RAIS SAMIA ATOA VIWANJA 21 KWA WAATHIRIKA WA MAPOROMOKO YA MLIMA,ITEZI MBEYA
Просмотров 1,4 тыс.14 дней назад
RAIS SAMIA ATOA VIWANJA 21 KWA WAATHIRIKA WA MAPOROMOKO YA MLIMA,ITEZI MBEYA
Machifu, Wasamaria wajitokeza kusaidia waathirika maporomoko kata Itezi Diwani Shitambala awafariji
Просмотров 67814 дней назад
Machifu, Wasamaria wajitokeza kusaidia waathirika maporomoko kata Itezi Diwani Shitambala awafariji
Mbeya Real Friends Yaonesha Ukubwa Wake yawashika mkono waathirika mafuriko Maanga Veta Ilemi
Просмотров 83514 дней назад
Mbeya Real Friends Yaonesha Ukubwa Wake yawashika mkono waathirika mafuriko Maanga Veta Ilemi
Maombi mazito yafanyika Marys Pre & Primary School Maporomoko Mlima Kawetere,wazazi waodolewa hofu
Просмотров 11314 дней назад
Maombi mazito yafanyika Marys Pre & Primary School Maporomoko Mlima Kawetere,wazazi waodolewa hofu
WANAWAKE MBEYA UWSA WATOA FARAJA KWA WAATHIRIKA WA MAPOROKO YA MLIMA KAWETERE
Просмотров 21614 дней назад
WANAWAKE MBEYA UWSA WATOA FARAJA KWA WAATHIRIKA WA MAPOROKO YA MLIMA KAWETERE
Meya wa Jiji la Mbeya Mh. Dormohamed Issa Ajisajili kushiriki mbio za Tulia Marathon 2024
Просмотров 7214 дней назад
Meya wa Jiji la Mbeya Mh. Dormohamed Issa Ajisajili kushiriki mbio za Tulia Marathon 2024
UJENZI MRADI WA MAJI MTO KIWIRA WASHIKA KASI KUKAMILIKA MACHI 2025
Просмотров 50914 дней назад
UJENZI MRADI WA MAJI MTO KIWIRA WASHIKA KASI KUKAMILIKA MACHI 2025
WAATHIRIKA WA MAFURIKO KYELA RAIS SAMIA ATOA ZAIDI YA MIL:30
Просмотров 14114 дней назад
WAATHIRIKA WA MAFURIKO KYELA RAIS SAMIA ATOA ZAIDI YA MIL:30
MBEYAUWSA YAWAGUSA WAATHIRIKA WA MAPOROKO YA MLIMA KAWETERE KWA KUTOA MSAADA
Просмотров 36714 дней назад
MBEYAUWSA YAWAGUSA WAATHIRIKA WA MAPOROKO YA MLIMA KAWETERE KWA KUTOA MSAADA
Marys Pre Primary School Mbeya Yawafariji Waathirika Maporomoko Mlima Kawetere,wakabidhi msaada
Просмотров 21414 дней назад
Marys Pre Primary School Mbeya Yawafariji Waathirika Maporomoko Mlima Kawetere,wakabidhi msaada
WANAWAKE MZRH WATOA MSAADA WA KITANDA CHENYE THAMANI YA 37M
Просмотров 16814 дней назад
WANAWAKE MZRH WATOA MSAADA WA KITANDA CHENYE THAMANI YA 37M
TUMEKWISHA: MWENYEKITI WA MTAA AUZA ENEO LA MCHINA AKIJUA KAFA NA KORONA KUMBE YUPO HAI
Просмотров 94214 дней назад
TUMEKWISHA: MWENYEKITI WA MTAA AUZA ENEO LA MCHINA AKIJUA KAFA NA KORONA KUMBE YUPO HAI
CCM YATOA MILION 10 KWA WAATHIRIKA WA MAPOROMOKO YA MLIMA KAWETERE MBEYA
Просмотров 44614 дней назад
CCM YATOA MILION 10 KWA WAATHIRIKA WA MAPOROMOKO YA MLIMA KAWETERE MBEYA
ASKOFU MTEULE ROBERT PANGANI KMT JKM KUSIMIKWA RASMI JUNI 2,2024
Просмотров 43714 дней назад
ASKOFU MTEULE ROBERT PANGANI KMT JKM KUSIMIKWA RASMI JUNI 2,2024
Kwanini usiende karibu na nyumba ya uyo mtu
Umaskini...
Mm nishafanya hayo maisha sana ila kila nikiienda shambani maana hanna hata gest alafu kuna nyoka sana kwa hiyo niliish maisha hayo japo kulikua na vibanda vya kulala
waandishi wenyewe maswali ya ajabu ajabu,wajifunze taaluma ya uandishi vizuri
mbeya washamba tuuu
Watanzania hawana kazi za kufanya ndio maaba wanafuatia maisha ya watu kila wakati Kama mmeona amelala hakuamka mna haki kutoa ripoti kituo cha usalama Tembeeni nchi za wenzetu au angalieni kwenye youtube mtapata habari zoote za dunia nzima
Pole Dada
Gari si ni yake ache kukuza mambo
Si ni mtanzania na hana mabunduki acha atagute maisha
Sema media na waandishi wa habari wana maswali chonganishi sana Na lengo lao ni kuibua tu mijadala Mwachen akimilishe majukum yake tu kama hajaleta uharibifu na kuvunja sheria shida iko wapi ?
Mambo ya kupumbavu sana huu ni ujinga sana. Kosa liko wapi kulala kwenye gari. Hata ulaya Kuna watu wanaishi kwenye trucks na wapo huru. Hiyo ni lifestyle na ni njia pia ya kubana matumizi mnafanya big deal
Yupo smart sana...Watu wa Mbeya msiwe washamba..
Acheni ubaguzi Tanzania ni nchi huru
Tinawapataje hao mbuzi wanyongwe tu
Kila mtu anaweza kuishi popote
Shida gani aca vulugu,
Yuko sawa analinda gari lake
Wazambia kulala kwenye gari ni kawaida. Nguo anapeleka dry cleaner. Humo kwenye gari amegeuza kuwa kitanda. Safi kabisa yuko vizuri
Unajuwa hata video zingine sio za kuposti ni Mambo ya kitoto Doctor Hana tatizo lolote Yuko Sana na anahaki Kama mtanzania na kuhusu Gari laweza kuwa makazi no problem
Mwacheni jamani ili mradi hajavunja sheria
Mbona sisi madereva wa maloli tuna lala kwenye malori yetu miezi Hamtufuati
Ushambaaa wa wa tz... Van life is normal
Mwandishi wa habari hujielewi unauliza upuuzi nawala hujui kuhoji na elimu huna mwandishi na sisi tutakufuatilia ufungiwe kwamaana hujui kazi yako inahitaji uweje, husikilizi unauliza uliza tu
Baba nanii yupo mbeya kumbe 😂 mmemcholesha mstaafu 😅
Maskin binti mzur
Akim na wewe umwache umwonee uluma
Dada mzur
Mbeya 😂😂😂😂siwawez hata sharia...zake Ngumu sana unakuta mtu baki anazuiahata bajaji abiria shukeni et kiongozi wa bajaji ...😅😅😅mkoa noma
Wanaoohoji hata hawajui kusikiliza hoja. Daktari na huyo mwenyeji wake mbona wanaongea wanaeleweka vizur kbs!!!
Hapo ndio utajua bongo na ulaya Jmn mbn km kufedheheshana
Anakaa kujifanya kuna kitu anakagua kagua hii area
Elf 10.mnaiona ndogo eh watu tunalala kwenye gari mwezi sembuse siku 6 nenda wazo ,tanga cement au depo yoyote mkaone madreva au Congo wanaishije kusevu gharama
Kwani ahida iko wapi? Kwani Lzm kulala gest au nyumbani! Nyie vipi?
Kwani ni daktari wa nini?
😂😂😂😂 Dr ako sawa uchumi mbaya
Jamani wastafu wetu .
Sasa gari ni lake je angelala baa
Hata uongeaji wake haionyeshi kama ana ubaya na nimtanzani aachiwe huru2 hana tatizo ishu nikutomfaham kimtaa
Sasa shida nini gari yake
Ako sawa kabisa❤ pia mm nishawai kaa
Hawa maaskali washamba sana, jamaa kapenda kuishi kwenye gari madamu havunji Sheria mwacheni
Washamba hawa, watu kulala kwenye gari mbona kawaida
Ukwel gan wajingaaa nyieeee weziiii
Washenzii kwely kauzeee kuma kama huna kaziiii nyoooo
Sasa shida ipo wap hapi
Jmn chaajabu nin hpo muachen Baba wawatu afanye kaz zake.
Mbeya washamba sana sa apo nini cha ajabu?
Ivi ni lazima alale guest?
Wapuuzi sana, mnaingilia maisha ya mtu.
Kila mtu ana haki ya kuishi popote Tz bila kuvunja sheria pia ana haki ya kulala anapoona panamfaa.